Karibu

Wizara ina jukumu la kusimamia na kuendeleza mifugo kwa ujumla na rasilimali za Uvuvi kwa ajili ya kufikia Malengo ya Milenia, mkakati wa Taifa wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini, kuboresha maisha ya jamii zinazotegemea mifugo na uvuvi...... Soma zaidi

  • news title here
    28
    Mar
    2025

    DKT. KIJAJI AWATAKA WATUMISHI WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI KUWA WAZALENDO

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, amewataka watumishi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuwa na utumishi wa kizalendo uliotukuka kwa Watanzania ili kuweza kusongambele katika Sekta hizo mbili. Soma zaidi

  • news title here
    21
    Mar
    2025

    RAI YATOLEWA KWA WAFUGAJI KWA VIZIMBA KUSHIKWA MKONO ZAIDI

    Serikali imetoa wito kwa wawekezaji na watoa huduma mbalimbali zikiwemo taasisi za kifedha kuuangana na serikali pamoja na sekta binafsi ili kuwezesha wawekezaji wa ufugaji samaki kwa njia ya vizimba waendelee kufanya vizuri zaidi. Soma zaidi

  • news title here
    21
    Mar
    2025

    KIWANDA CHATAKIWA KUANZA UZALISHAJI, KUFUATIA MAZINGIRA MAZURI YA UWEKEZAJI

    Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt. Edwin Mhede ameutaka uongozi wa kiwanda cha kuchakata mazao ya uvuvi cha LIFA Products ltd, kilichopo Manispaa ya Musoma mkoani Mara kuhakikisha kiwanda hicho kinaanza uzalishaji hivi karibuni. Soma zaidi

Soma zaidi
  • 13
    Aug
    2018

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki atapokea na kuzindua Mizani itayayotumika kwenye minada ya mifugo kwa ajili hapa nchini.

    Mahali:Dar es Salaam

    Soma zaidi
  • 22
    Jan
    2018

    Utiaji saini makubaliano baina ya Chama cha Ushirika wa Wavuvi – BUKASIGA kilichopo Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza na Sokoine University

    Mahali:Mwanza

    Soma zaidi