Karibu
Wizara ina jukumu la kusimamia na kuendeleza mifugo kwa ujumla na rasilimali za Uvuvi kwa ajili ya kufikia Malengo ya Milenia, mkakati wa Taifa wa kukuza uchumi na kupunguza umaskini, kuboresha maisha ya jamii zinazotegemea mifugo na uvuvi...... Soma zaidi
-
28
Mar
2025DKT. KIJAJI AWATAKA WATUMISHI WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI KUWA WAZALENDO
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, amewataka watumishi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuwa na utumishi wa kizalendo uliotukuka kwa Watanzania ili kuweza kusongambele katika Sekta hizo mbili. Soma zaidi
-
21
Mar
2025RAI YATOLEWA KWA WAFUGAJI KWA VIZIMBA KUSHIKWA MKONO ZAIDI
Serikali imetoa wito kwa wawekezaji na watoa huduma mbalimbali zikiwemo taasisi za kifedha kuuangana na serikali pamoja na sekta binafsi ili kuwezesha wawekezaji wa ufugaji samaki kwa njia ya vizimba waendelee kufanya vizuri zaidi. Soma zaidi
-
21
Mar
2025KIWANDA CHATAKIWA KUANZA UZALISHAJI, KUFUATIA MAZINGIRA MAZURI YA UWEKEZAJI
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt. Edwin Mhede ameutaka uongozi wa kiwanda cha kuchakata mazao ya uvuvi cha LIFA Products ltd, kilichopo Manispaa ya Musoma mkoani Mara kuhakikisha kiwanda hicho kinaanza uzalishaji hivi karibuni. Soma zaidi
-
13
Aug
2018Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba Ndaki atapokea na kuzindua Mizani itayayotumika kwenye minada ya mifugo kwa ajili hapa nchini.
Mahali:Dar es Salaam
Soma zaidi -
22
Jan
2018Utiaji saini makubaliano baina ya Chama cha Ushirika wa Wavuvi – BUKASIGA kilichopo Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza na Sokoine University
Mahali:Mwanza
Soma zaidi